Nenda kwa yaliyomo

Transista

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Transistor)
Picha ya transista.

Transista (kwa Kiingereza: en:transistor) ni kifaa cha kielektroniki chenye uwezo wa kukuza na kuunganisha taarifa za kieletroniki [1] na taarifa za kiumeme. Hutumika kama swichi, au kukuza ukubwa wa mitetemo (signals).

Imeundwa na malighafi za semikonda [2] na kuwa na utando wa semikonda za aina tatu zilizobandikwa pamoja, ambazo huwa mbili za kufanana kila upande na moja tofauti katikati, kwa mfano: pnp au npn.

Transista ndio msingi wa ufundi wa kielektroniki.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.