Anthropolojia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Wanaanthropolojia)
Lewis Henry Morgan
Bronisław Malinowski
Margaret Mead
Edward Sapir
Claude Lévi-Strauss

Anthropolojia ni fani ya elimu inayochunguza pande zote binadamu kuanzia wale wa kale[1][2][3].

Matawi yake mbalimbali yanachunguza maisha ya jamii, utamaduni pamoja na taratibu na tunu, athari ya lugha, mabadiliko ya kimwili n.k.[1][2][3]

Kwa vyovyote, anthropolojia inahitaji ushirikiano wa sayansi mbalimbali, ikiwemo teolojia.

Akiolojia inaweza kutazamwa kama sehemu ya anthropolojia (k.mf. Marekani[4] ) au ya historia, lakini pia kama fani ya pekee (k.mf. Ulaya).

Jina[hariri | hariri chanzo]

Jina linatokana na neno la Kiingereza anthropology lililotumika mara ya kwanza kwa Kilatini mwaka 1593 kuhusiana na historia.[5][[6][7] Asili yake ni maneno mawili ya Kigiriki, ἄνθρωπος, ánthrōpos "mtu") na λόγος, lógos, "neno, somo, elimu").[5]

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. 1.0 1.1 "anthropology". Oxford Dictionaries. Oxford University Press. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2016-07-09. Iliwekwa mnamo 10 Agosti 2013.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  2. 2.0 2.1 "anthropology". Encyclopedia Britannica. Iliwekwa mnamo 23 Machi 2015.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  3. 3.0 3.1 "What is Anthropology?". American Anthropological Association. Iliwekwa mnamo 10 Agosti 2013.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  4. Haviland, William A.; Prins, Harald E. L.; McBride, Bunny; Walrath, Dana (2010), Cultural Anthropology: The Human Challenge (toleo la 13th), Cengage Learning, ISBN 0-495-81082-7
  5. 5.0 5.1 Oxford English Dictionary, 1st ed. "anthropology, n." Oxford University Press (Oxford), 1885.
  6. [Richard Harvey (astrologer)|Richard Harvey]]'s 1593 Philadelphus, a defense of the legend of Brutus in British history, includes the passage "Genealogy or issue which they had, Artes which they studied, Actes which they did. This part of History is named Anthropology." Its present use first appeared in Renaissance Germany in the works of Magnus Hundt and Otto Casmann.
  7. Israel Institute of the History of Medicine. Koroth. BRILL. uk. 19. GGKEY:34XGYHLZ7XY.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Kamusi elezo[hariri | hariri chanzo]

  • Barnard, Alan; Spencer, Jonathan, eds. (2010). The Routledge Encyclopedia of Social and Cultural Anthropology. London: Routledge.
  • Barfield, Thomas (1997). The dictionary of anthropology. Hoboken: Wiley-Blackwell Publishing..
  • Jackson, John L. (2013). Oxford Bibliographies: Anthropology. Oxford: Oxford University Press.
  • Levinson, David; Ember, Melvin, eds. (1996). Encyclopedia of Cultural Anthropology. Volumes 1–4. New York: Henry Holt.
  • Rapport, Nigel; Overing, Joanna (2007). Social and Cultural Anthropology: The Key Concepts. New York: Routledge.

Kumbukumbu[hariri | hariri chanzo]

Historia[hariri | hariri chanzo]

Vitabu vya kiada[hariri | hariri chanzo]

  • Clifford, James; Marcus, George E. (1986). Writing culture: the poetics and politics of ethnography. Berkeley: University of California Press.
  • Geertz, Clifford (1973). The Interpretation of Cultures. New York: Basic Books.
  • Harris, Marvin (1997). Culture, People, Nature: An Introduction to General Anthropology (toleo la 7th). Boston: Allyn & Bacon.
  • Salzmann, Zdeněk (1993). Language, culture, and society: an introduction to linguistic anthropology. Boulder, CO: Westview Press.
  • Shweder, Richard A.; LeVine, Robert A., whr. (1984). Culture Theory: essays on mind, self, and emotion. Cambridge, UK: Cambridge University Press.
  • Waitz, Theodor (1863). [[[:Kigezo:Google books]] Introduction to Anthropology]. Translated by J. Frederick Collingwood for the Anthropological Society of London. London: Longman, Green, Longman, and Roberts. {{cite book}}: Check |url= value (help); Invalid |ref=harv (help)

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya sayansi bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Anthropolojia kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.