Nenda kwa yaliyomo

Abdi Hassan Mshangama

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Abdi Hassan Mshangama (amezaliwa 27 Januari, 1943) ni mbunge wa jimbo la Lushoto katika bunge la kitaifa tangu 2005 huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Mengi kuhusu Abdi Hassan Mshangama". 25 Aprili 2006. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2011-10-20. Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011.