Adrian Atiman

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Adrian Atiman (Tindirma, Sudan ya Kifaransa, leo Mali, 1866 hivi [1] - Karema, mkoa wa Katavi, 24 Aprili 1956[2]) alikuwa katekista na daktari wa Kiafrika mmisionari nchini Tanzania[3].

Maisha[hariri | hariri chanzo]

Msonghai, alikombolewa na Wamisionari wa Afrika kutoka utumwa huko Metlili, kusini mwa Algeria[4].

Baada ya kusomeshwa hadi Ulaya[1] aliishi na kufanya kazi katika misheni ya Karema kuanzia mwaka 1889[5] hadi kifo chake akiheshimiwa na wote[2] kwa huduma zake zilizomfikisha hata vijiji vya mbali[2].

Aliacha mke na mtoto mmoja, padri Joseph[5], pamoja na masimulizi ya maisha yake.[6]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. 1.0 1.1 "Dr. Adrien Atiman". The British Medical Journal. 1 (4978): 1305. 2 Juni 1956. JSTOR 20335675.{{cite journal}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  2. 2.0 2.1 2.2 J. Grosjean, Atiman (Adrien), Biographie Belge d'Outre-Mer, vol. 7-C (1989), 12-16.
  3. "Atiman, Adrian". dacb.org. Iliwekwa mnamo 2020-06-05.
  4. Rockel, Stephen (16 Aprili 2013). "The Remarkable Story of Adrian Atiman: Freed Slave to Medical Missionary". SSRN (kwa Kiingereza). SSRN 2252267.{{cite journal}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  5. 5.0 5.1 "Atiman, Adrien". Africa Museum Archives. Iliwekwa mnamo 2020-06-05.
  6. "African history specialist discusses Adrien Atiman, freed slave to medical missionary". 14 March 2014. York University. Iliwekwa mnamo 18 Agosti 2020.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)

Marejeo kwa Kiswahili[hariri | hariri chanzo]

  • George Pelz, "Katekista na daktari Adrian Atiman"
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.