Nenda kwa yaliyomo

Baba

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Baba akiwa amempakata mtoto, Dhaka, Bangladesh.

Baba ni mwanamume aliyemzaa mtoto au anamlea.

Katika uzazi, baba ndiye anayesababisha jinsia ya mtoto kwa kumrithisha kromosomu Y (mtoto wa kiume) au kromosomu X tu (mtoto wa kike).

Saikolojia inaonyesha pia umuhimu wa kuwepo kwa baba mwenye pendo, akishirikiana na mama, katika kukua kwa mtoto.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  • Marcia C. Inhorn, Wendy Chavkin, and Jose-Alberto Navarro, eds. Globalized Fatherhood by (Berghahn Books; 2014) 419 pages; studies by anthropologists, sociologists, and cultural geographers -
  • M.J. Diamond (2007) My Father Before Me; How Fathers and Sons Influence Each Other Throughout Their Lives. New York: WW Norton.