Hamisa Mobetto

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Hamisa Hassan Mobetto (alizaliwa Mwanza, Tanzania, Desemba 10, 1994)[1] ni mwimbaji, mwigizaji, mfanyabiashara, na mwanamitindo wa Tanzania.

Maisha ya awali na elimu[hariri | hariri chanzo]

Alizaliwa katika familia ya Kiislamu na alikuwa na shauku ya uanamitindo akiwa mtoto.

Aliendeleza kazi yake katika uanamitindo baada ya kumaliza shule ya sekondari.[2]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mwigizaji filamu fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Hamisa Mobetto kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.