Nenda kwa yaliyomo

Mto Chona

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mto Chona ni kati ya mito ya mkoa wa Tabora (Tanzania Magharibi). Ni tawimto la mto Wembere unaotiririkia ziwa Kitangiri.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]