Nenda kwa yaliyomo

Rustiko wa Clermont

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sanamu yake.

Rustiko wa Clermont (pia: Rotiri[1]; alifariki nchini Ufaransa, 446) alikuwa askofu wa 8 wa mji huo kuanzia mwaka 424 hivi [2]

Anavyosimulia Gregori wa Tours, alipochaguliwa padri huyo kuwa askofu, umati wa waumini ulishangilia [3].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 24 Septemba[4].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.