Seffa

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Seffa.

Seffa (kwa Kiarabu: السفة) ni chakula cha ki Maghrebi[1] kinachoandaliwa kwa siagi, mlozi na mdalasini.[2] Pia chakula hiki kinaweza kuandaliwa kwa nyama [3] na tambi za kukaanga au wali. Chakula hicho huliwa baada ya mlo, mara nyingi katika sherehe za harusi na mikusanyiko ya kifamilia.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]