Teolojia ya shule

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Teolojia ya shule (kwa Kilatini: Theologia Scholastica) ni aina ya teolojia iliyoanza katika shule za monasteri zilipogundua upya falsafa ya Aristoteli kupitia tafsiri za wanafalsafa Wayahudi na Waislamu.

Katika juhudi ya kulinganisha metafizikia hiyo na teolojia ya Ukristo wa Magharibi, iliwekwa misingi ya vyuo vikuu vya Karne za Kati, na hatimaye ya ustawi wa sayansi.

Teolojia hiyo ilitawala elimu ya Ulaya miaka 1100-1700 hivi[1].

Kati ya wawakilishi wakuu wa shule hiyo kuna: Anselm wa Canterbury ("baba wa falsafa ya shule"[2]), Petro Abelardo, Aleksanda wa Hales, Alberto Mkuu, Yohane Duns Scotus, William wa Ockham, Bonaventura wa Bagnoregio, na Thoma wa Akwino. Kitabu chake bora, Summa Theologica (12651274) kinahesabika kilele cha falsafa ya shule, ya Karne za Kati na ya Kikristo kwa jumla[3].

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. See Steven P. Marone, "Medieval philosophy in context" in A. S. McGrade, ed., The Cambridge Companion to Medieval Philosophy (Cambridge: Cambridge University Press, 2003). On the difference between scholastic and medieval monastic postures towards learning, see Jean Leclercq, The Love of Learning and the Desire for God (New York: Fordham University Press, 1970) esp. 89; 238ff.
  2. Grant, Edward. God and Reason in the Middle Ages. Cambridge University Press, 2004, 56
  3. Gilson, Etienne (1991). The Spirit of Medieval Philosophy (Gifford Lectures 1933–35). Notre Dame, IN: University of Notre Dame Press. ku. 490. ISBN 978-0-268-01740-8. 

Vyanzo vikuu[hariri | hariri chanzo]

  • Hyman, J.; Walsh, J. J., wahariri (1973). Philosophy in the Middle Ages. Indianapolis: Hackett Publishing. ISBN 978-0-915144-05-1. 
  • Schoedinger, Andrew B., mhariri (1996). Readings in Medieval Philosophy. New York: Oxford University Press. ISBN 978-0-19-509293-6. 

Vyanzo vingine[hariri | hariri chanzo]

Marejeo mengine[hariri | hariri chanzo]

  • Trueman, Carl R. and R. Scott Clark, jt. eds. (1999). Protestant Scholasticism: Essays in Reassessment. Carlisle, Eng.: Paternoster Press. ISBN 0-85364-853-0
  • Rexroth, Frank (2023). Knowledge True and Useful: A Cultural History of Early Scholasticism (kwa Kiingereza). University of Pennsylvania Press. ISBN 978-1-5128-2471-1. 

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu dini ya Ukristo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Teolojia ya shule kama historia yake, matokeo au athari zake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.