Nenda kwa yaliyomo

Uchaguzi wa Rais wa Marekani, 1852

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Uchaguzi wa Rais wa Marekani, mwaka wa 1852 ulikuwa wa 17 katika historia ya Marekani. Ukafanywa Jumanne tarehe 2 Novemba. Upande wa "Democratic Party", Franklin Pierce (pamoja na kaimu wake William R. King) alimshinda mgombea wa "Whig Party" Winfield Scott (pamoja na kaimu wake William A. Graham).

Matokeo[hariri | hariri chanzo]

Pierce akapata kura 254 na Scott 42. Ramani yaonyesha kura kwa kila jimbo.