Nenda kwa yaliyomo

Yaren

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Yaren

Yaren (zamani iliitwa pia "Makwa") ni tarafa kwenye nchi ya kisiwani cha Nauru yenye nafasi ya mji mkuu. Eneo lake ni 1.5 km² kuna wakazi 1,100 (2003).

Kisheria hakuna mji mkuu nchini Nauru lakini karibu majengo yote ya serikali pamoja na bunge yapo Yaren.

Picha za Yaren[hariri | hariri chanzo]