A Hotel Called Memory

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

A Hotel Called Memory ni filamu ya Nigeria ya Nollywood ya mwaka 2017 iliyoongozwa na Akin Omotoso. Inajulikana kwa kukosa mazungumzo, ikijulikana zaidi kama filamu ya kwanza ya kinigeria ya kimyakimya .[1]

Filamu hii imefanyika sehemu mbalimbali ikiwemo Lagos, Cape Town na Zanzibar. ni filamu inayoelezea kisa cha mwanamke anaYetalakiwa na mume wake na kuamua kuzunguka sehemu mbalimbali kwa ajili ya kutafuta utambuzi[2][3] filamu imeandikwa na Branwen Okpako, na mtayarishaji ni Ego Boyo na nyota wa filamu hii Nse Ikpe-Etim.ilishinda tuzo ya experimental film katika tamasha la BlackStar Film Festival mjini Philadelphia.[4]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. When the stars gathered for ‘no dialogue’ movie: A hotel called memory in Lagos, The Guardian, 25 November 2017.
  2. Izuzu, Chidumga. ""A Hotel Called Memory" is one of a kind: a Nigerian film with no dialogue". (en-US) 
  3. NOLLYWOOD NETPLUS 2018 LATEST NIGERIAN MOVIES (2018-02-22), A HOTEL CALLED MEMORY(THE BEST 2017 LATEST NIGERIAN MOVIE) - 2018 LATEST NIGERIAN MOVIES, iliwekwa mnamo 2018-11-18{{citation}}: CS1 maint: numeric names: authors list (link)
  4. Daniel Anazia, A Hotel Called Memory comes on big screen in Lagos tomorrow, The Guardian, 18 November 2017.
Makala hii kuhusu filamu fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu A Hotel Called Memory kama waigizaji wake, hadithi au matoleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.