Nenda kwa yaliyomo

Ali Hassan Omar

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Ali Hassan Omar ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CCM. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Jang'ombe kwa miaka 20152020. [1]Mwaka 2015-2018 alikuwa mwanachama wa kamati ya bajeti.[2]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Mei 2017
  2. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2020-01-25. Iliwekwa mnamo 2020-01-25.