Anwar al-Bunni

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Anwar al-Bunni (alizaliwa 1959) ni wakili wa haki za binadamu wa Syria ambaye amewatetea wateja kama vile Riad al-Turk, Riad Seif, mmiliki wa The Lamplighter, (gazeti huru lililofungwa na serikali ya Syria), waandamanaji wa Kikurdi, na "dazeni za wengine. ."[1][2]


Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Hassan M. Fattah (24 Aprili 2007). "Mahakama ya Syria". The New York Times. Iliwekwa mnamo 20 Julai 2012.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  2. "Syria:Kuachiwa kwa wafungwa". Amnesty International. 8 Agosti 2008. Iliwekwa mnamo 22 Januari 2012.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Anwar al-Bunni kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.