Nenda kwa yaliyomo

Augustino Manyanda Masele

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Augustino Manyanda Masele ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CCM. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Mbogwe kwa miaka 20152020. [1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Mei 2017