Buk Bak

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Buk Bak Ni kundi la muziki la Ghana lililoundwa na Prince Bright, Isaac Shoetan na Ronny Coaches , Walirap katika Ga, Twi, na Pidgin, na walikuwa kundi la kwanza la wanahiplife nchini Ghana kufaulu kwa maneno ya Ga . [1]

Kufikia mnamo mwaka 2006, wote wawili walikuwa wakifanya miradi binafsi. Bright na Ronny waliungana tena mnamo mwaka wa 2012 kurekodi albamu yao ya mwisho kama kikundi, Fisherman Anthem . Kikundi cha awali kilikuwa na wanachama zaidi, ambao baadhi yao wameunda vikundi kama 4x4 . Kikundi kiligawanyika mnamo Novemba mwaka 2013, baada ya kifo cha Ronny Coaches . [2][3]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Sad News: Roonie Coaches of Buk Bak Fame Is Dead!". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2013-11-24. Iliwekwa mnamo Novemba 21, 2013.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  2. "BUK BAK's Ronnie Coaches is dead". Iliwekwa mnamo Desemba 4, 2017.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  3. Quist, Wola (3 Agosti 2019). "10 Buk Bak songs that will forever be played". Ghana Music. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2019-12-17. Iliwekwa mnamo 12 Mei 2021.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Buk Bak kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.