Dancehall

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Dancehall ni aina ya muziki maarufu sana nchini Jamaica na ulimwenguni kwa ujumla. Aina hii ya muziki ilianza mwishoni mwa miaka ya 1970 na kuendelezwa vyema katika miaka ya 1980 na kuja kutambulikana ulimwenguni kote kwenye miaka ya 1990.[1] Muziki huu ni kombinenga la muziki wa reggae, hip hop, na R&B.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Niaah, Sonjah Stanley (Julai 10, 2010). DanceHall: From Slave Ship to Ghetto (kwa English). Ottawa: University of Ottawa Press. ISBN 9780776607368.{{cite book}}: CS1 maint: date auto-translated (link) CS1 maint: unrecognized language (link)