Nenda kwa yaliyomo

Dorothy Gwajima

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Dorothy Onesphoro Gwajima (pia anajulikana Gwajima Dorothy) ni mwanasiasa wa CCM wa Tanzania na mwanachama wa baraza la mawaziri tangu mwaka 2020.[1] [2] Aliteuliwa na Rais John Magufuli na bado anahudumu kama Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto chini ya Rais Samia Suluhu Hassan. <[3]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Parliament Speaker swears-in Nominated MPs by JPM".
  2. "Speaker Ndugai swears-in all Nominated MPs".
  3. "Speaker Ndugai swears-in all Nominated MPs".