Nenda kwa yaliyomo

Dunstan Luka Kitandula

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Dunstan Luka Kitandula ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CCM. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Mkinga kwa miaka 20152020. [1] Alikuwa mwenyekiti wa kamati ya nishati na madini ndani ya bunge la Tanzania.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Mei 2017