Edward Muungamaji

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mfalme Edward katika kiti cha enzi.

Edward Muungamadini (kwa Kiingereza: Edward the Confessor; takriban 10035 Januari 1066) alikuwa mfalme wa Uingereza kuanzia mwaka 1042 hadi kifo chake.

Kama mfalme hakuwa na nguvu ya kutawala lakini maisha yake ya Kikristo yalikuwa mfano mwema kabisa. Alipendwa sana na raia zake kwa upendo aliokuwa nao, alidumisha amani nchini akastawisha ushirika na Kanisa la Roma[1].

Mwaka 1161 alitangazwa kuwa mtakatifu.

Sikukuu yake ni tarehe ya kifo chake[2] au 13 Oktoba.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Anglo-Saxon Chronicle, tr. Michael Swanton, The Anglo-Saxon Chronicles. 2nd ed. London, 2000.
  • Aelred of Rievaulx, Life of St. Edward the Confessor, translated Fr. Jerome Bertram (first English translation) St. Austin Press ISBN 1-901157-75-X
  • Barlow, Frank, Edward the Confessor, Oxford University Press, 1997
  • Barlow, Frank, Edward (St Edward; known as Edward the Confessor), Oxford Online Dictionary of National Biography, 2004
  • Maddicott, J. R. (2004). "Edward the Confessor's Return to England in 1041". English Historical Review. CXIX (482). Oxford University Press: 650–666.
  • Mortimer, Richard ed., Edward the Confessor: The Man and the Legend, The Boydell Press, Woodbridge, 2009 ISBN 978-1-84383-436-6
  • O'Brien, Bruce R.: God's peace and king's peace : the laws of Edward the Confessor, Philadelphia, Pa. : University of Pennsylvania Press, 1999, ISBN 0-8122-3461-8
  • The Life of King Edward who rests at Westminster (Vita Ædwardi Regis) ed. and trans. Frank Barlow, Clarendon Press, Oxford, 1992
  • Rex, Peter, King & Saint: The Life of Edward the Confessor, The History Press, Stroud, 2008
  • The Waltham Chronicle ed. and trans. Leslie Watkiss and Marjorie Chibnall, Oxford Medieval Texts, OUP, 1994
  • William of Malmesbury, The History of the English Kings, i, ed.and trans. R.A.B. Mynors, R.M.Thomson and M.Winterbottom, Oxford Medieval Texts, OUP 1998

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.