Nenda kwa yaliyomo

Edwin Amandus Ngonyani

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Edwin Amandus Ngonyani ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CCM. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Namtumbo kwa miaka 20152020. [1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Mei 2017