Nenda kwa yaliyomo

Janet Zebedayo Mbene

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Janet Zebedayo Mbene ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CCM. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Ileje kwa miaka 20152020. [1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

[2]

  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Mei 2017
  2. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2020-01-25. Iliwekwa mnamo 2020-01-25.