Nenda kwa yaliyomo

Joan Maloof

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Joan Maloof mnamo 2022

Joan Maloof (alizaliwa 1956/1957) ni mwanaharakati na mwandishi wa mazingira kutoka Marekani.[1] Alianzisha Old-Growth Forest Network (Mtandao wa Misitu ya Ukuaji wa Kale) mnamo 2012.[2]

Maloof alilelewa huko Delaware. Baba yake alikuwa mhandisi wa kemikali.[1] Ni mwandishi wa vitabu vitano. Cha kwanza, Teaching the Trees , kilichapishwa mnamo 2005, na cha pili, Among the Ancients, mnamo 2011.[1][3] Mnamo 2017, alichapisha The Living Forest na mpiga picha Robert Llewellyn.[4]

Ni profesa wa heshima (baada ya kustaafu) katika Chuo Kikuu cha Salisbury.[5][6]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. 1.0 1.1 1.2 "Steady growth: Maryland woman spearheads fight to preserve America's old-growth forests", The Baltimore Sun, 10 March 2022. 
  2. "Wilderness Center's Sigrist Woods becomes part of Old-Growth Forest Network", The Independent, 13 April 2022. 
  3. DEAN, TAMARA (2010). "Blowdown: WHEN A TORNADO TEARS THROUGH A BELOVED LANDSCAPE, IS IT POSSIBLE TO JUST LET NATURE HEAL ITSELF?". The American Scholar. 79 (4): 66. ISSN 0003-0937. JSTOR 41222255.
  4. "An ecologist speaks for the silent giants: Old-growth trees", 24 October 2017. 
  5. "Descriptions of 'old-growth forest' are somewhat elusive", 21 October 2011. 
  6. "Quest under way to find, protect old-growth forests", Bay Journal, 17 December 2021. (en) 

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Joan Maloof kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.