Kamusi Awali ya Sayansi na Tekinologia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

"Kamusi Awali ya Sayansi na Tekinologia" (kifupi: KAST) ni kamusi iliyoandaliwa na wataalamu wa TUKI na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam mwaka 1995.

Kamusi hii inakusanya maneno ya kisayansi na ya kiteknolojia kwa utaratibu ufuatao:

Mwishowe kuna faharasa ya Kiingereza inayoweza kutumiwa kama kamusi ndogo ya Kiingereza-Kiswahili ya maneno ya kisayansi.

Kati ya kamusi za Kiswahili hii ni hatua kubwa mbele katika ukuzaji wa Kiswahili hata ikionyesha bado mapengo na kasoro mbalimbali.

Hali halisi kiasi kikubwa cha maneno yaliyokusanywa humo hayatumiwi tena.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Kamusi Awali ya Sayansi na Tekinologia (KAST). Dar es Salaam, Tanzania: Ben & Co. Ltd., 1995.