Nenda kwa yaliyomo

Loolmalasin

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Loolmalasin ni mlima wa volkeno katika mkoa wa Arusha, kaskazini mwa Tanzania.

Urefu wake ni mita 3,682 juu ya usawa wa bahari.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]