Nenda kwa yaliyomo

Lugha za Kitokari

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Lugha za Kitokari ni jina la kundi la lugha za kale zilizotumika hasa katika mkoa wa Xinjiang (leo nchini China). Kundi hilo linaainishwa kama mojawapo kati ya yale ya lugha za Kihindi-Kiulaya.

Maarufu zaidi ilikuwa ile ya Wahiti. Zote zilikoma kufikia karne ya 9 BK.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

  • Tocharian alphabet (from Omniglot)
  • Thesaurus Indogermanischer Text- und Sprachmaterialien (TITUS):
  • Mark Dickens, "Everything you always wanted to know about Tocharian" Archived 11 Oktoba 2003 at the Wayback Machine.
  • Tocharian Online from the University of Texas at Austin
  • Online dictionary of Tocharian B, based upon D. Q. Adams's A Dictionary of Tocharian B (1999)
  • Tocharian B Swadesh list (From Wiktionary)
  • Comprehensive Edition of Tocharian Manuscripts, University of Vienna, with images, transcriptions and (in many cases) translations and other information.
  • Sieg, E.; Siegling, W. (1921). Tocharische Sprachreste, 1.A: Transcription. Walter de Gruyter. Transcriptions of Tocharian A manuscripts.
  • Kim, Ronald I. (2012). "Introduction to Tocharian" (PDF). Institute for Comparative Linguistics, Charles University. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo (PDF) mnamo 2018-07-16. Iliwekwa mnamo 2019-10-27.
Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Lugha za Kitokari kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.