Nenda kwa yaliyomo

Luka Jelas Siyame

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Luka Jelas Siyame (amezaliwa tar. 13 Mei 1951) ni mbunge wa jimbo la Mbozi Magharibi katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Mengi kuhusu Luka Jelas Siyame". 6 Julai 2006. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2011-10-26. Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011.