Nenda kwa yaliyomo

Maida Hamad Abdallah

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Maida Hamad Abdallah (amezaliwa 17 Januari 1975) ni Mbunge katika Bunge la Tanzania tangu 2005. Alirudishwa mwaka 2010, 2015 na 2020[1] kama mbunge wa viti maalum kupitia chama cha Mapinduzi (CCM).[2]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. https://www.parliament.go.tz/administrations/146 Tovuti la Bunge liliangaliwa Aprili 2022
  2. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2020-01-25. Iliwekwa mnamo 2020-01-25.

Chanzo[hariri | hariri chanzo]