Mgogoro wa kimazingira

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Migogoro ya kimazingira hupatikana katika sehemu mbalimbali kama kwenye madini,uchafu,nakadhalika

Mgogoro wa kimazingira (kwa Kiingereza: Environmental conflict) ni mgogoro unaosababishwa na uharibifu wa mazingira kwenye masuala ya kushindwa kusimamia rasilimali za mazingira.[1]

Mara nyingi pande tofauti zinahusishwa ikiwemo watetezi wa mazingira ambao wanataka kulinda mazingira na watu au makampuni yanayolenga kutumia maliasili bila kujali athari hasi kwa mazingira mfano migodi ya madini.[2] Athari hasi hutokea pamoja na kuachia kemikali za sumu hewani au majini, kukata miti mingi, matumizi ya maji mengi mno, kusababisha machafuko ya aina mbalimbali, kuhatarisha ekolojia ya eneo husika.[3]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. https://www.ncbi.nlm.nih.gov/pmc/articles/PMC7418451/
  2. https://www.taylorfrancis.com/chapters/mono/10.4324/9781351139243-9/field-grow-field-environmental-conflict-james-lee
  3. Mason, Simon; Spillman, Kurt R (2009-11-17). "Environmental Conflicts and Regional Conflict Management". WELFARE ECONOMICS AND SUSTAINABLE DEVELOPMENT – Volume II (kwa Kiingereza). EOLSS Publications. ISBN 978-1-84826-010-8.