Mkoa wa Aksaray

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mkoa wa Aksaray
Maeneo ya Mkoa wa Aksaray nchini Uturuki
Maelezo
Kanda: Kanda ya Anatolia ya Kati
Eneo: 7,626 (km²)
Idadi ya Wakazi 425,612 TUIK 2007 (est)
Kodi ya Leseni: 68
Kodi ya eneo: 0382
Tovuti ya Gavana http://www.aksaray.gov.tr
Utabiri wa hali ya hewa turkeyforecast.com/weather/aksaray


Aksaray ni mkoa wa kati nchini Uturuki. Mkoa huu unapakana na mikoa mingine kama vile Konya kwa upande wa magharibi na kusini yake, Niğde kwa upande wa kusini-mashariki, Nevşehir kwa upande mashariki, na Kırşehir kwa upande wa kaskazini. Mkoa unachukua eneo la kilomita za mraba zipatazo 7,626. Mji mkuu wa mkoa huu ni Aksaray.

Wilaya za mkoani hapa[hariri | hariri chanzo]

Mkoa wa Aksaray umegawanyika katika wilaya 7 (wilaya kuu imekoozeshwa):

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]