Nenda kwa yaliyomo

Mto Mkata (Morogoro)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mto Mkata ni mto wa Tanzania mashariki, unaotiririka hadi kuingia mto Wami ambao unaishia katika Bahari Hindi magharibi kwa Zanzibar.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]