Nenda kwa yaliyomo

Mto Nyahua

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mto Nyahua ni kati ya mito ya mkoa wa Tabora (Tanzania Magharibi). Ni tawimto la mto Wembere unaotiririkia ziwa Kitangiri.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]