Nenda kwa yaliyomo

Muziki wa Kigregori

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Wimbo wa mwanzo Gaudeamus omnes, ulioandikwa kwa nota maalumu za mraba katika karne ya 14 au 15.


Muziki wa Kigregori ni aina nyofu ya muziki wa Kikristo inayotumia sauti moja tu tena bila ya kusindikizwa na ala yoyote.

Ndio muziki rasmi wa Kanisa la Kilatini[1] ambao ulistawi Ulaya magharibi na ya kati katika karne ya 9 na ya 10.

Jina linatokana na hadithi ya kwamba Papa Gregori I ndiye aliyeagiza utumike kanisani.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Graduale triplex (1979). Tournai: Desclée& Socii. ISBN 2-85274-094-X
  • Graduale Novum, Libreria Editrice Vaticana 2011 ISBN 978-3-940768-15-5
  • Graduale Lagal (1984 / 1990) Chris Hakkennes, Stichting Lagal Utrecht ISBN 90-800408-2-7
  • Liber usualis (1953). Tournai: Desclée& Socii.
  • Liber Usualis (1961) in PDF format (115 MB)
  • Apel, Willi (1990). Gregorian Chant. Bloomington, Indiana: Indiana University Press. ISBN 0-253-20601-4.
  • Chew, Geoffrey; Szendrei, Richard Rastall, David Hiley and Janka. "Notation". Grove Music Online, ed. L. Macy. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2007-07-21. Iliwekwa mnamo 27 Juni 2006.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link) CS1 maint: multiple names: authors list (link)
  • Crocker, Richard (1977). The Early Medieval Sequence. University of California Press. ISBN 0-520-02847-3.
  • Dyer, Joseph. "Roman Catholic Church Music". Grove Music Online, ed. L. Macy. ku. Section VI.1. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2007-07-21. Iliwekwa mnamo 28 Juni 2006.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  • Grout, Donald (1960). A History of Western Music. New York: W. W. Norton & Co. ISBN 0-393-09537-1.
  • Hiley, David (1990). "Chant". Katika Brown, Howard Mayer; Sadie, Stanley (whr.). Performance Practice: Music before 1600. New York: W.W. Norton & Company. ku. 37–54. ISBN 0-393-02807-0.
  • Hiley, David (1995). Western Plainchant: A Handbook. Clarendon Press. ISBN 0-19-816572-2.
  • Hoppin, Richard, mhr. (1978). Anthology of Medieval Music. W. W. Norton & Company. ISBN 0-393-09080-9.
  • Hoppin, Richard (1978). Medieval Music. W. W. Norton & Company. ISBN 0-393-09090-6.
  • Le Mée, Katharine (1994). Chant: The Origins, Form, Practice, and Healing Power of Gregorian Chant. Harmony. ISBN 0-517-70037-9.
  • Levy, Kenneth. "Plainchant". Grove Music Online, ed. L. Macy. ku. Section VI.1. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2007-07-21. Iliwekwa mnamo 20 Januari 2006.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  • Mahrt, William P. "Gregorian Chant as a Paradigm of Sacred Music". Sacred Music. 133 (3): 5–14.
  • Mahrt, William P. (2000). "Chant". Katika Duffin, Ross (mhr.). A Performer's Guide to Medieval Music. Bloomington, Indiana: Indiana University Press. ku. 1–22. ISBN 0-253-33752-6.
  • McKinnon, James, mhr. (1990). Antiquity and the Middle Ages. Prentice Hall. ISBN 0-13-036153-4.
  • McKinnon, James W. "Christian Church, music of the early". Grove Music Online, ed. L. Macy. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2007-07-21. Iliwekwa mnamo 11 Julai 2006.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  • Neuls-Bates, Carol, mhr. (1996). Women in Music. Boston: Northeastern University Press. ISBN 1-55553-240-3.
  • Novum, Canticum. "Lessons on Gregorian Chant: Notation, characteristics, rhythm, modes, the psalmody and scores". Iliwekwa mnamo 11 Julai 2006.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  • Parrish, Carl (1986). A Treasury of Early Music. Mineola, New York: Dover Publications, Inc. ISBN 0-486-41088-9.
  • Robinson, Ray, mhr. (1978). Choral Music. W.W. Norton & Co. ISBN 0-393-09062-0.
  • Wagner, Peter (1911). Einführung in die Gregorianischen Melodien. Ein Handbuch der Choralwissenschaft (kwa Kijerumani). Leipzig: Breitkopf & Härtel.
  • Ward, Justine Bayard (Aprili 1906). "The Reform in Church Music". The Atlantic Monthly. 97: 455–463.{{cite journal}}: CS1 maint: date auto-translated (link) Reprint at MusicaSacra.com website (accessed 20 January 2014).
  • Wilson, David (1990). Music of the Middle Ages. Schirmer Books. ISBN 0-02-872951-X.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu dini ya Ukristo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Muziki wa Kigregori kama historia yake, matokeo au athari zake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.