Nenda kwa yaliyomo

Onesmo Koimerek Nangole

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Onesmo Koimerek Nangole ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CHADEMA. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Longido kwa miaka 20152020. [1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Mei 2017