Nenda kwa yaliyomo

Paul Peter Kimiti

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Paul Peter Kimiti (amezaliwa 15 Januari 1940) ni mbunge wa jimbo la Sumbawanga Mjini katika bunge la kitaifa nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. ["Mengi kuhusu Paul Peter Kimiti". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2011-10-18. Iliwekwa mnamo 2011-11-03. Mengi kuhusu Paul Peter Kimiti]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]