Richa Adhia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rachael Maria Adhia

Amezaliwa 1 May 1988
Dar es Salaam, Tanzania
Nchi Tanzania
Majina mengine Richa Adhia
Kazi yake Mwanamitindo, Mfanyabiashara


Richa Maria Adhia (alizaliwa Dar es Salaam, 1 Mei 1988) alikuwa mshindi wa Miss Tanzania wa mwaka 2007[1].

Mama yake alizaliwa kisiwani Pemba, na baba yake alizaliwa Morogoro, Tanzania. Yeye alizaliwa jijini Dar es Salaam akakulia mjini Mwanza, Tanzania.

Richa alikuwa mshindi wa kwanza wa Miss Tanzania mwenye asili ya Uhindi.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Showbiz Highlights—Miss TZ's side hustle", Saturday Nation, 5 Desemba 2009, ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2018-07-10, iliwekwa mnamo 3 Aprili 2010 {{citation}}: Unknown parameter |dead-url= ignored (|url-status= suggested) (help)CS1 maint: date auto-translated (link)