Safina

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Safina ya Noah (1846), mchoro wa Edward Hicks.

Safina ya Noah (kutoka Kiarabu: سفينة نوح‎, Safina Nuh; kwa Kiebrania ni: תיבת נח‎, Tevat Noaḥ) ni chombo kikubwa ambamo, kadiri ya simulizi la Kitabu cha Mwanzo (Biblia), Noah na familia yake walikombolewa wakati wa gharika kuu.

Pamoja nao wanyama wa kila aina waliokolewa humo wasife maji.

Kadiri ya kitabu hicho cha Agano la Kale, sura 6-9, Mungu ndiye aliyemuagiza Noah atengeneze chombo hicho.

Habari hiyo inapatikana pia, kwa tofauti kadhaa, katika Quran.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Marejeo mengine[hariri | hariri chanzo]

Ufafanuzi wa Mwanzo

Vingine

Tigay, Jeffrey H., (1982). The Evolution of the Gilgamesh Epic. University of Pennsylvania Press, Philadelphia. ISBN 0-8122-7805-4.{{cite book}}: CS1 maint: extra punctuation (link) CS1 maint: multiple names: authors list (link)
  • Van Seters, John (2004). The Pentateuch: a social-science commentary. Continuum International Publishing Group.
  • Wenham, Gordon (1994). "The Coherence of the Flood Narrative". Katika Hess, Richard S.; Tsumura, David Toshio (whr.). I studied inscriptions from before the flood. Sources for Biblical and Theological Study. Juz. 4. Eisenbrauns. uk. 480. ISBN 0-931464-88-9. {{cite book}}: |format= requires |url= (help); External link in |chapterurl= (help); Invalid |ref=harv (help); Unknown parameter |chapterurl= ignored (|chapter-url= suggested) (help)
  • Young, Davis A. (Machi 1995). The Biblical Flood: A Case Study of the Church's Response to Extrabiblical Evidence. Grand Rapids, MI: Eerdmans Pub Co. uk. 340. ISBN 0-8028-0719-4. {{cite book}}: Invalid |ref=harv (help)CS1 maint: date auto-translated (link)
  • Douglas, J. D., and Tenney, Merrill C., mhr. (2011). Zondervan Illustrated Bible Dictionary. revised by Moisés Silva (toleo la Revised). Grand Rapids, Mich.: Zondervan. ISBN 0310229839. {{cite book}}: Invalid |ref=harv (help)CS1 maint: multiple names: editors list (link)
Makala hii kuhusu mambo ya Biblia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Safina kama historia yake au athari wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.