Nenda kwa yaliyomo

Uchaguzi wa Rais wa Marekani, 1844

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Uchaguzi wa Rais wa Marekani, mwaka wa 1844 ulikuwa wa 15 katika historia ya Marekani. Ukafanywa tarehe 1 Novemba hadi 4 Desemba. Upande wa "Democratic Party", James Polk (pamoja na kaimu wake George M. Dallas) alimshinda mgombea wa "Whig Party" Henry Clay (pamoja na kaimu wake Theodore Frelinghuysen).

Matokeo[hariri | hariri chanzo]

Polk akapata kura 170 na Clay 105. Ramani yaonyesha kura kwa kila jimbo.