Nenda kwa yaliyomo

Uchaguzi wa Rais wa Marekani, 1904

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Uchaguzi wa Rais wa Marekani, mwaka wa 1904 ulikuwa wa 30 katika historia ya Marekani. Ukafanywa Jumanne tarehe 8 Novemba. Upande wa "Republican Party", Rais Theodore Roosevelt (pamoja na kaimu wake Charles Fairbanks) alimshinda mgombea wa "Democratic Party" Alton Parker (pamoja na kaimu wake Henry Davis).

Matokeo[hariri | hariri chanzo]

Roosevelt akapata kura 336, na Parker 140. Ramani yaonyesha kura kwa kila jimbo.