Flora na Maria

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Picha ya Mt. Flora katika kanisa kuu la Cordoba.

Flora na Maria (walifariki Cordoba, leo nchini Hispania, 851) walikuwa Wakristo waliofia imani yao chini ya utawala wa Waislamu.

Flora alikuwa na baba Mwislamu na mama Mkristo, kumbe Maria kinyume chake alikuwa na baba Mkristo na mama Mwislamu, ila alibatizwa muda mfupi baada ya kuolewa. Walipokutana waliamua kujitosa kupinga Uislamu hadharani hata wakakatwa kichwa[1][2][3].

Tangu kale wanaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama watakatifu mabikira wafiadini.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 24 Novemba [4][5].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Charles Reginald (Machi 4, 2010). Christianity and Islam in Spain A.D. 756-1031. Forgotten Books. uk. 41. ISBN 978-1-4510-0752-7.{{cite book}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  2. Kenneth Baxter Wolf. "The Martyrs of Córdoba".
  3. Marcelle Thiébaux (1994). The Writings of Medieval Women: an anthology. uk. 180. ISBN 9780815313922.
  4. Martyrologium Romanum
  5. http://www.boston-catholic-journal.com/roman-martrylogy-in-english/roman-martyrology-november-in-english.htm#November_24th
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.