Lobengula

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mfalme Lobengula

Lobengula Khumalo (Septemba 1845 - Januari 1894) alikuwa mfalme wa pili na wa mwisho wa Wandebele (tawi la Wazulu katika nchi ambayo leo inaitwa Zimbabwe)

Jina "Lobengula" linamaanisha "Aliyekuwa mgonjwa".

Wazazi[hariri | hariri chanzo]

Baba yake alikuwa Mzilikazi, ambaye alimtangulia Lobengula kama mfalme wa Wandebele[1].

Mama yake Lobengula alikuwa mke mdogo kwenye boma ya Mzilikazi, na Lobengula aliweza kumrithi baba yake kwa umaarufu wake katika vita.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Hensman, Howard (1900). A History of Rhodesia (PDF). W. Blackwood and Sons. {{cite book}}: Invalid |ref=harv (help)
  • Burnham, Frederick Russell (1926). Scouting on Two Continents. Doubleday, Page. {{cite book}}: Invalid |ref=harv (help)
  • Wills, W. A.; Collingridge, L. T. (1894). The Downfall of Lobengula: The Cause, History, and Effect of the Matabeli War. "The African review" offices. {{cite book}}: Invalid |ref=harv (help)
  • "LOBENGULA IN A TRAP.; Not Believed that the Matabele King Can Escape". The New York Times. 3 Novemba 1893. Iliwekwa mnamo 2016-08-18.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  • "SOUTH AFRICA: The Skull of Lobengula". TIME.com. 10 Januari 1944. Iliwekwa mnamo 18 Agosti 2016.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]